Posts

Showing posts from July, 2018

DC MJEMA: WANAWAKE ZIFIKIENI NDOTO ZENU, INAWEZEKANA

Image
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Sophia Mjema akizungumza na wanawake wajasiriamali katika uzinduzi wa Miradi ya Changamka Mwanamke (Picha na Daud Lyon) Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Sophia Mjema akizungumza na wanawake wajasiriamali, kuwapa hamasa kuzifikia ndoto zao. Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Sophia Mjema akizungumza na wanawake wajasiriamali, kuwapa hamasa kuzifikia ndoto zao.   Na Heri Shaban MKUU wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema amezindua miradi miwili ya Taasisi ya Wanawake wa Changamka Mwanamke Dar es Salaam jana ili iwawezeshe Wanawake kujikwamua kiuchumi. Uzinduzi wa miradi hiyo ilifanyika Dar es salaam jana, katika ukumbi wa NSSF ambao ulishirikisha Wanawake wa Changamka Mwanamke Wanawake wa JUKWAA Wilaya ya ILALA na Wajasiliamali. Katika mafunzo hayo alizindua miradi ya kilimo cha pilipili na viti vya kukodi katika shughuli mbalimbali. Akizungumza katika hafla ya taasisi ya Changamka Mwanamke Sophia Mjema alipongeza Changamka Mwanamke kwa kuwaungan...

DC MJEMA AENDELEA KUNG’ARA MBIO ZA MWENGE WA UHURU

Image
Mkuu wa Mkoa wa DSM Mhe. Paul Makonda  akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Paul Makonda, tayari kukimbizwa katika Wilaya ya Ilala Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2018 ndugu Charles Kabeho, akizungumza na wananchi wa Kivule Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Sophia Mjema akiwa katika Picha ya pamoja na watumishi wa Ofisi yake kutoka kulia ni Afisa Tawala ndugu Jabiri O. Makame, Afisa Tarafa wa Tarafa ya Kariakoo ndugu Christina Kalekezi na Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala ndugu Edward Mpogolo Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala ndugu Edward Mpogolo akijadiliana jambo na Afisa Tawala katika Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya ya Ilala ndugu Jabiri Makame wakati Wa mapokezi ya Mwenge Wa Uhuru (Picha na Daud Lyon) Na Mwandishi wenu,Dar es salaam Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Sophia Mjema, leo Julai 07, 2018, ameupokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda, na kuukimbiza katika Wilaya yake ya Ilala kupitia jumla ya Mi...